Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 8:8 - Swahili Revised Union Version

8 Wakala, wakashiba, wakakusanya mabaki ya vipande vya mikate vikapu saba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Watu wakala, wakashiba. Wakakusanya makombo wakajaza vikapu saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Watu wakala, wakashiba. Wakakusanya makombo wakajaza vikapu saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Watu wakala, wakashiba. Wakakusanya makombo wakajaza vikapu saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Wale watu walikula na kutosheka. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wale watu walikula na kutosheka. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Wakala, wakashiba, wakakusanya mabaki ya vipande vya mikate vikapu saba.

Tazama sura Nakili




Marko 8:8
16 Marejeleo ya Msalaba  

Waufumbua mkono wako, Wakishibisha kila kilicho hai matakwa yake.


Wakala wote wakashiba; wakayaokota mabaki ya vipande vya mikate, vikapu kumi na viwili, vimejaa.


Wakala wote wakashiba; wakayaokota mabaki ya vipande vya mikate makanda saba, yamejaa.


Wala ile mikate saba kwa watu elfu nne, na makanda mangapi mliyoyaokota?


Na watu waliokula walikuwa elfu nne. Akawaaga.


Wenye njaa amewashibisha mema, Na wenye mali amewaondoa mikono mitupu.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo