Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:23 - Swahili Revised Union Version

Akamwapia, lolote utakaloniomba nitakupa, hata nusu ya ufalme wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena akamwapia, “Chochote utakachoniomba, nitakupa; hata ikiwa ni nusu ya ufalme wangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena akamwapia, “Chochote utakachoniomba, nitakupa; hata ikiwa ni nusu ya ufalme wangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena akamwapia, “Chochote utakachoniomba, nitakupa; hata ikiwa ni nusu ya ufalme wangu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tena akamwahidi kwa kiapo, akamwambia, “Chochote utakachoomba nitakupa, hata kama ni nusu ya ufalme wangu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tena akamwahidi kwa kiapo, akamwambia, “Chochote utakachoomba nitakupa, hata kama ni nusu ya ufalme wangu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwapia, lolote utakaloniomba nitakupa, hata nusu ya ufalme wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:23
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akasema, Mungu anifanyie hivyo, na kuzidi, kikimbakia kichwa Elisha mwana wa Shafati juu yake leo.


Mfalme akamwambia, malkia Esta, unataka nini? Nayo ni haja gani uliyo nayo? Utapewa hata nusu ya ufalme.


Basi mfalme akamwambia Esta pale penye karamu ya divai, Dua yako ni nini? Nawe utapewa; na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme utatimiziwa.


Mfalme akamwambia Esta tena siku ya pili pale pale penye karamu ya divai, Malkia Esta, dua yako ni nini? Nawe utapewa; na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme utatimiziwa.


Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako,


Hata akaahidi kwa kiapo ya kwamba atampa lolote atakaloliomba.


akamwambia, Haya yote nitakupa, ukiinama na kunisujudia.


Basi akatoka, akamwuliza mamaye, Niombe nini? Naye akasema, Kichwa cha Yohana Mbatizaji.


Naye Sauli akamwapia kwa BWANA, akasema, Aishivyo BWANA, haitakupata adhabu yoyote kwa jambo hili.