Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 6:2 - Swahili Revised Union Version

2 Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 umejibana kwa maneno yako mwenyewe, umejinasa kwa ahadi uliyofanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 umejibana kwa maneno yako mwenyewe, umejinasa kwa ahadi uliyofanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 umejibana kwa maneno yako mwenyewe, umejinasa kwa ahadi uliyofanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 kama umetegwa na ulichosema, umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 kama umetegwa na ulichosema, umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako,

Tazama sura Nakili




Methali 6:2
5 Marejeleo ya Msalaba  

Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake, Na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.


Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa rafiki yako, Ikiwa wewe na mgeni mmepeana mikono,


Sasa, mwanangu, fanya hivi ukajiokoe, Kwa kuwa umejitia mkononi mwa jirani yako; Nenda ukanyenyekee, na kumsihi jirani yako.


Sanamu za kuchonga za miungu yao mtaziteketeza kwa moto; usitamani fedha wala dhahabu iliyo juu yao, wala usiitwae iwe yako usije ukanaswa nayo; kwa maana ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo