1 Samueli 28:10 - Swahili Revised Union Version10 Naye Sauli akamwapia kwa BWANA, akasema, Aishivyo BWANA, haitakupata adhabu yoyote kwa jambo hili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Shauli akamwapia kwa jina la Mwenyezi-Mungu, akisema, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, kwamba hakuna adhabu yoyote itakayokupata kutokana na jambo hili.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Shauli akamwapia kwa jina la Mwenyezi-Mungu, akisema, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, kwamba hakuna adhabu yoyote itakayokupata kutokana na jambo hili.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Shauli akamwapia kwa jina la Mwenyezi-Mungu, akisema, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, kwamba hakuna adhabu yoyote itakayokupata kutokana na jambo hili.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Sauli akamwapia huyo mwanamke kwa Jina la Mwenyezi Mungu, akasema, “Kwa hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo, hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Sauli akamwapia huyo mwanamke kwa Jina la bwana, akasema, “Kwa hakika kama bwana aishivyo, hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Naye Sauli akamwapia kwa BWANA, akasema, Aishivyo BWANA, haitakupata adhabu yoyote kwa jambo hili. Tazama sura |