Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 4:9 - Swahili Revised Union Version

Akasema, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akawaambia, “Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akawaambia, “Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akawaambia, “Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Isa akasema, “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Isa akasema, “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 4:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio, na asikie.


Mwenye masikio na asikie.


Akawaita makutano akawaambia


Naye alipokuwa peke yake, wale watu waliomzunguka, na wale Kumi na Wawili, walimwuliza kuhusu ile mifano.


Sikilizeni; Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda;


Nyingine zikaanguka penye udongo ulio mzuri, zikazaa matunda, zikimea na kukua, na kuzaa, moja thelathini, moja sitini, na moja mia.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Jiangalieni basi jinsi msikiavyo; kwa kuwa mwenye kitu atapewa, na yule asiye na kitu atanyang'anywa hata kile ambacho anadhaniwa kuwa nacho.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.