Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 15:10 - Swahili Revised Union Version

10 Akawaita makutano akawaambia

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni, mkaelewe!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni, mkaelewe!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni, mkaelewe!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Isa akaita umati wa watu waliokuwa hapo, akawaambia, “Sikilizeni na mwelewe:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Isa akaita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni na mwelewe:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Akawaita makutano akawaambia

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mikaya akasema, Ukirudi kabisa kwa amani, BWANA hakusema kwa mimi. Akasema, Sikieni, enyi watu wote.


Tegeni masikio yenu, na kunijia; Sikieni, na nafsi zenu zitaishi; Nami nitafanya nanyi agano la milele, Naam, rehema za Daudi zilizo imara.


Naye akaniambia, Nenda, ukawaambie watu hawa, Endeleeni kusikia, lakini msifahamu; endeleeni kutazama, lakini msione.


Kila mtu alisikiapo neno la ufalme bila kulielewa, huja yule mwovu, akalinyakua lililopandwa moyoni mwake. Huyo ndiye aliyepandwa karibu na njia.


Sikilizeni, mfahamu; Sicho kiingiacho kinywani kimtiacho mtu unajisi; bali kitokacho kinywani ndicho kimtiacho mtu unajisi.


Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.


Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),


Ndipo akawafunua akili zao wapate kuelewa maandiko.


Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, awape ninyi roho ya hekima na ya ufunuo katika kumjua yeye;


Kwa sababu hiyo sisi nasi, tangu siku ile tuliposikia, hatuachi kufanya maombi na dua kwa ajili yenu, ili mjazwe maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa rohoni;


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo