Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 4:3 - Swahili Revised Union Version

Sikilizeni; Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sikilizeni! Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Sikilizeni! Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sikilizeni; Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 4:3
29 Marejeleo ya Msalaba  

Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha BWANA.


Sikia, binti, utazame, utege sikio lako, Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako.


Basi, wanangu, nisikilizeni sasa, Mkayaangalie maneno ya kinywa changu.


Basi, wanangu, nisikilizeni sasa; Maana heri hao wazishikao amri zangu.


Asubuhi panda mbegu zako, Wala jioni usiulegeze mkono wako. Kwa maana wewe hujui ni zipi zitakazofanikiwa, kama ni hii au hii, au kama zote zitafaa sawasawa.


Nisikilizeni, ninyi mlio na moyo mshupavu, mlio mbali na haki;


Nisikilizeni, enyi wa nyumba ya Yakobo, ninyi mlio mabaki ya nyumba ya Israeli, mliochukuliwa nami tangu tumboni, mlioinuliwa tangu mimbani;


Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika shamba lake;


Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu.


Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Mpanzi huyo hulipanda neno.


Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


ikawa alipokuwa akipanda, mbegu nyingine ilianguka kando ya njia, wakaja ndege wakaila.


Akasema, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.


Lakini Petro akasimama pamoja na wale kumi na mmoja, akapaza sauti yake, akawaambia, Enyi watu wa Yudea, na ninyi nyote mkaao Yerusalemu, lijueni jambo hili, mkasikilize maneno yangu.


Na sasa, Ee Israeli, zisikilizeni amri na hukumu ninazowafundisha, ili mzitende; mpate kuishi na kuingia na kuimiliki nchi anayowapa BWANA, Mungu wa baba zenu.


Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni, Je! Mungu hakuwachagua maskini wa dunia wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidia wampendao?


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.