Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 8:32 - Swahili Revised Union Version

32 Basi, wanangu, nisikilizeni sasa; Maana heri hao wazishikao amri zangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 “Sasa basi wanangu, nisikilizeni: Heri wale wanaofuata njia zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 “Sasa basi wanangu, nisikilizeni: Heri wale wanaofuata njia zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 “Sasa basi wanangu, nisikilizeni: heri wale wanaofuata njia zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 “Basi sasa wanangu, nisikilizeni; heri wale wanaozishika njia zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 “Basi sasa wanangu, nisikilizeni; heri wale wanaozishika njia zangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Basi, wanangu, nisikilizeni sasa; Maana heri hao wazishikao amri zangu.

Tazama sura Nakili




Methali 8:32
12 Marejeleo ya Msalaba  

Maana nimezishika njia za BWANA, Wala sikumwasi Mungu wangu.


Uharibifu na Mauti husema, Tumesikia habari zake kwa masikio yetu.


Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia yake.


Maana nimezishika njia za BWANA, Wala sikumwasi Mungu wangu.


Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.


Heri mtu yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu.


Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye.


Basi, wanangu, nisikilizeni sasa, Wala msiache maneno ya kinywa changu.


Basi, wanangu, nisikilizeni sasa, Mkayaangalie maneno ya kinywa changu.


Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo