Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 4:2 - Swahili Revised Union Version

2 Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye katika mafundisho yake akasema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye katika mafundisho yake akasema:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,

Tazama sura Nakili




Marko 4:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nitatega sikio langu nisikie mithali, Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.


Nitafumbua kinywa changu kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.


Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?


Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;


Akaondoka huko akafika katika eneo la Yudea, na ng'ambo ya Yordani; makutano mengi wakakutanika tena wakamwendea; akawafundisha tena kama alivyozoea.


Akaanza kusema nao kwa mifano; Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalizungushia ua, akachimba shimo la shinikizo, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Akawaambia katika mafundisho yake, Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa masokoni,


Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?


Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje, yote hufanywa kwa mifano,


Sikilizeni; Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda;


Basi Kuhani Mkuu akamwuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake, na kuhusu mafundisho yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo