Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 9:56 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa. Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakatoka, wakaenda kijiji kingine.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakatoka, wakaenda kijiji kingine.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakatoka, wakaenda kijiji kingine.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye Isa na wanafunzi wake wakaenda kijiji kingine.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nao wakaenda kijiji kingine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa. Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 9:56
16 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni msidharau mmojawapo wa wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [


Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.]


kama vile Mwana wa Adamu asivyokuja kutumikiwa, bali kutumika, na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi.


Lakini mimi nawaambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kulia, mgeuzie na la pili.


Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.


Yesu akajibu akasema, Muwe radhi kwa hili. Akamgusa sikio, akamponya.


Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura.


Akawageukia, akawakanya. [Akasema, Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]


Nao walipokuwa wakienda njiani, mtu mmoja alimwambia, Nitakufuata kokote utakakokwenda.


Mwizi huja tu kuiba, kuua na kuharibu; mimi nilikuja ili wawe na uzima, tena wawe nao tele.


Na mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, ila niuokoe ulimwengu.


Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.


Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.


Ni neno la kuaminiwa, tena lastahili kukubalika kabisa, ya kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni awaokoe wenye dhambi; ambao wa kwanza wao ni mimi.