Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 9:55 - Swahili Revised Union Version

55 Akawageukia, akawakanya. [Akasema, Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

55 Lakini yeye akawageukia, akawakemea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

55 Lakini yeye akawageukia, akawakemea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

55 Lakini yeye akawageukia, akawakemea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

55 Isa akageuka na kuwakemea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

55 Isa akageuka na kuwakemea,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

55 Akawageukia, akawakanya. [Akasema, Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]

Tazama sura Nakili




Luka 9:55
24 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Daudi akasema, Mimi nina nini nanyi, enyi wana wa Seruya, hata mmekuwa adui zangu leo? Je! Atauawa mtu yeyote leo katika Israeli? Kwa maana sijui mimi leo ya kwamba ndimi mfalme juu ya Israeli?


Lakini yeye akamwambia, Wewe wanena kama mmoja wa hao wanawake wapumbavu anenavyo. Je! Tupate mema mkononi mwa Mungu, nasi tusipate na mabaya? Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi kwa midomo yake.


Je! Umetamka maneno kwa nani? Kisha ni roho ya nani iliyotoka kwako?


Kwa sababu hiyo najichukia nafsi yangu, na kutubu Katika mavumbi na majivu.


Usimkaripie mwenye dharau, asije akakuchukia; Mkaripie mwenye hekima, naye atakupenda.


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?


Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.


Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kamwe.


Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho iko radhi, lakini mwili ni dhaifu.


Na tazama, mmoja wa wale waliokuwa pamoja na Yesu akanyosha mkono wake, akaufuta upanga wake, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.


Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipoona hayo, walisema, Bwana, wataka tuagize moto ushuke kutoka mbinguni, uwaangamize; [kama Eliya naye alivyofanya]?


Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa. Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine.


Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;


Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana. Ndugu zangu, haifai mambo hayo kuwa hivyo.


watu wasiolipa baya kwa baya, au laumu kwa laumu; bali wenye kubariki; kwa sababu hayo ndiyo mliyoitiwa ili mrithi baraka.


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo