Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:10 - Swahili Revised Union Version

10 Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.

Tazama sura Nakili




Luka 19:10
17 Marejeleo ya Msalaba  

Kama vile mchungaji atafutavyo kondoo wake, siku ile anapokuwa kati ya kondoo wake waliotawanyika; ndivyo nitakavyowatafuta kondoo wangu; nami nitawaokoa katika mahali pote walipotawanyika, katika siku ya mawingu na giza.


Nami nitawatafuta waliopotea, nitawarudisha waliotangatanga, nitawatibu waliojeruhiwa, nitawatia nguvu wagonjwa; nao wanono na wenye nguvu nitawaharibu; nitawalisha hukumu.


Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.


Bali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Angalieni msidharau mmojawapo wa wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [


Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.]


Bali ilibidi kusherehekea na kushangilia kwa kuwa huyu ndugu yako alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana.


Au ni mwanamke gani aliye na shilingi kumi, akipotewa na moja, asiyewasha taa na kufagia nyumba, na kutafuta kwa bidii hadi aione?


Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.


Kwa maana hapo tulipokuwa hatuna nguvu, wakati ulipotimia, Kristo alikufa kwa ajili ya waovu.


Naye, kwa sababu hii, anaweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu hai sikuzote ili awaombee.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo