Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 18:11 - Swahili Revised Union Version

11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.]

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.] (Taz Luka 19:10).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.] (Taz Luka 19:10).

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.]

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Bali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisini na tisa, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?


Naye aliposikia, aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa.


kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.


Bali ilibidi kusherehekea na kushangilia kwa kuwa huyu ndugu yako alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana.


Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.


Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa. Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine.


Mwizi huja tu kuiba, kuua na kuharibu; mimi nilikuja ili wawe na uzima, tena wawe nao tele.


Na mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, ila niuokoe ulimwengu.


Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.


Ni neno la kuaminiwa, tena lastahili kukubalika kabisa, ya kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni awaokoe wenye dhambi; ambao wa kwanza wao ni mimi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo