Mathayo 18:11 - Swahili Revised Union Version11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.] Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.] (Taz Luka 19:10). Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.] (Taz Luka 19:10). Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.] Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.] Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.] Tazama sura |