Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 8:54 - Swahili Revised Union Version

Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto, amka!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto, amka!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto, amka!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamshika yule binti mkono na kuita, “Binti, amka!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamshika yule binti mkono na kuita, “Binti, amka!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 8:54
15 Marejeleo ya Msalaba  

Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya na baba zao, katika siku ile nilipowashika mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri; ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa nilikuwa mume kwao, asema BWANA.


Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule msichana akasimama.


Akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.


Akamshika mkono yule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate katika macho, akamwekea mikono yake, akamwuliza, Waona kitu?


Lakini Yesu akamshika mkono akamwinua naye akasimama.


Alipofika nyumbani hakuruhusu mtu kuingia pamoja naye ila Petro, na Yohana, na Yakobo, na babaye yule mtoto na mamaye.


Wakamcheka sana, maana walijua ya kuwa amekwisha kufa.


Roho yake ikamrejea, naye mara hiyo akasimama. Akaamuru apewe chakula.


Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.


Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao.


Petro akawatoa nje wote, akapiga magoti, akaomba, kisha akaelekea yule maiti, akanena, Tabitha, inuka. Naye akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.


(kama ilivyoandikwa, Nimekuweka kuwa baba wa mataifa mengi); mbele zake yeye aliyemwamini, yaani Mungu, mwenye kuwahuisha wafu, ayatajaye yale yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.