Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 9:25 - Swahili Revised Union Version

25 Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule msichana akasimama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Lakini watu walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Lakini watu walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule msichana akasimama.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.


Akamshika mkono kijana, akamwambia, Talitha, kumi; tafsiri yake, Msichana, nakuambia, Inuka.


Akamshika mkono yule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate katika macho, akamwekea mikono yake, akamwuliza, Waona kitu?


Lakini Yesu akamshika mkono akamwinua naye akasimama.


Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo