Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 8:54 - Swahili Revised Union Version

54 Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

54 Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto, amka!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

54 Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto, amka!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

54 Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto, amka!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

54 Isa akamshika yule binti mkono na kuita, “Binti, amka!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

54 Isa akamshika yule binti mkono na kuita, “Binti, amka!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

54 Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.

Tazama sura Nakili




Luka 8:54
15 Marejeleo ya Msalaba  

Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya na baba zao, katika siku ile nilipowashika mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri; ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa nilikuwa mume kwao, asema BWANA.


Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule msichana akasimama.


Akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.


Akamshika mkono yule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate katika macho, akamwekea mikono yake, akamwuliza, Waona kitu?


Lakini Yesu akamshika mkono akamwinua naye akasimama.


Alipofika nyumbani hakuruhusu mtu kuingia pamoja naye ila Petro, na Yohana, na Yakobo, na babaye yule mtoto na mamaye.


Wakamcheka sana, maana walijua ya kuwa amekwisha kufa.


Roho yake ikamrejea, naye mara hiyo akasimama. Akaamuru apewe chakula.


Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.


Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao.


Petro akawatoa nje wote, akapiga magoti, akaomba, kisha akaelekea yule maiti, akanena, Tabitha, inuka. Naye akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.


(kama ilivyoandikwa, Nimekuweka kuwa baba wa mataifa mengi); mbele zake yeye aliyemwamini, yaani Mungu, mwenye kuwahuisha wafu, ayatajaye yale yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo