Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 8:53 - Swahili Revised Union Version

53 Wakamcheka sana, maana walijua ya kuwa amekwisha kufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Wao wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekwisha kufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Wao wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekwisha kufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

53 Wakamcheka sana, maana walijua ya kuwa amekwisha kufa.

Tazama sura Nakili




Luka 8:53
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni mtu wa kuchekwa na jirani yake, Ni mtu niliyemwita Mungu, naye akanijibu; Huyo mwenye haki, aliye mtimilifu, amekuwa ni kicheko.


Ni kweli wako kwangu wenye kufanya dhihaka, Jicho langu hukaa katika kunifanyia uchungu kwao.


Wote wanionao hunicheka sana, Hunifyonya, wakitikisa vichwa vyao;


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


akawaambia, Ondokeni; kwa maana msichana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.


Basi Mafarisayo, ambao wenyewe ni wapenda fedha, waliyasikia hayo yote, wakamdhihaki.


Na watu wote walikuwa wakilia na kumwombolezea; akasema, Msilie, hakufa huyu, bali amelala usingizi tu.


Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.


Yesu akasema, Liondoeni jiwe. Martha, dada yake yule aliyefariki, akamwambia, Bwana, ananuka sasa; maana amekuwa maiti siku nne.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo