Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 9:27 - Swahili Revised Union Version

27 Lakini Yesu akamshika mkono akamwinua naye akasimama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Lakini Isa akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Lakini Isa akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Lakini Yesu akamshika mkono akamwinua naye akasimama.

Tazama sura Nakili




Marko 9:27
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana mimi, BWANA, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kulia, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.


Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule msichana akasimama.


Akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.


Naye akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika.


Akamshika mkono kijana, akamwambia, Talitha, kumi; tafsiri yake, Msichana, nakuambia, Inuka.


Akamshika mkono yule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate katika macho, akamwekea mikono yake, akamwuliza, Waona kitu?


Akalia, akamtia kifafa sana, akamtoka; naye akawa kama amekufa; hata wengi wakasema, Amekufa.


Alipoingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kwa faragha, Mbona sisi hatukuweza kumtoa?


Yule jemadari akamshika mkono akajitenga pamoja naye kando, akamwuliza kwa faragha, Una neno gani utakalo kuniarifu?


Akamshika mkono wa kulia, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu.


Akampa mkono, akamwinua; hata kisha akawaita wale watakatifu na wajane akamweka mbele yao, akiwa hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo