Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:23 - Swahili Revised Union Version

Lakini yeye alitambua hila yao, akawaambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Isa akatambua hila yao, akawaambia,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Isa akatambua hila yao, kwa hiyo akawaambia,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini yeye alitambua hila yao, akawaambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:23
16 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo waliponijaribu baba zenu, Wakanipima, wakayaona matendo yangu.


Wakamjia Mafarisayo na Masadukayo, wakamjaribu, wakamwomba awaoneshe ishara itokayo mbinguni.


Lakini Yesu akaufahamu uovu wao, akasema, Mbona mnanijaribu, enyi wanafiki?


Wakamviziavizia, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wamnase katika maneno yake, wapate kumtia katika enzi na mamlaka ya mtawala.


Je! Ni halali tumpe Kaisari kodi, au sivyo?


Nionesheni dinari. Ina sura na anwani ya nani? Wakamjibu, Ya Kaisari.


Na Yesu alijua hoja zao, akajibu akawaambia, Mnajiuliza nini mioyoni mwenu?


Lakini yeye akayatambua mawazo yao, akamwambia yule mwenye mkono uliopooza, Ondoka, simama katikati; akaondoka akasimama.


akasema, Ewe mwenye kujaa hila na uovu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa haki yote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyooka?


Wala tusimjaribu Bwana, kama wengine wao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.


Maana hekima ya dunia hii ni upuzi mbele za Mungu. Kwa maana imeandikwa, Yeye ndiye awanasaye wenye hekima katika hila yao.


ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu.


Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.