1 Wakorintho 3:19 - Swahili Revised Union Version19 Maana hekima ya dunia hii ni upuzi mbele za Mungu. Kwa maana imeandikwa, Yeye ndiye awanasaye wenye hekima katika hila yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mwenyezi Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Maana hekima ya dunia hii ni upuzi mbele za Mungu. Kwa maana imeandikwa, Yeye ndiye awanasaye wenye hekima katika hila yao. Tazama sura |