Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:52 - Swahili Revised Union Version

Amewaangusha wakuu katika viti vyao vya enzi; Na wanyonge amewainua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

amewashusha wenye nguvu kutoka viti vyao vya enzi, akawakweza wanyenyekevu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

amewashusha wenye nguvu kutoka viti vyao vya enzi, akawakweza wanyenyekevu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

amewashusha wenye nguvu kutoka viti vyao vya enzi, akawakweza wanyenyekevu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amewashusha watawala toka kwenye viti vyao vya utawala, lakini amewainua wanyenyekevu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amewashusha watawala toka kwenye viti vyao vya enzi, lakini amewainua wanyenyekevu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amewaangusha wakuu katika viti vyao vya enzi; Na wanyonge amewainua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:52
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana anaweza kutoka gerezani kutawala; hata ikiwa alizaliwa akiwa maskini katika ufalme.


Na miti yote ya mashamba itajua ya kuwa mimi, BWANA, nimeushusha chini mti mrefu, na kuuinua mti mfupi, na kuukausha mti mbichi, na kuusitawisha mti mkavu; mimi, BWANA, nimenena, nami nimelitenda jambo hili.


Siku hiyo nitaiinua tena maskani ya Daudi iliyoanguka, na kuziba mahali palipobomoka; nami nitayainua magofu yake, na kuyajenga kama siku za kale;


Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? Na dada zake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.


Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.


Nawaambia, huyu alishuka kwenda nyumbani kwake amehesabiwa haki kuliko yule; kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.


Jidhilini mbele za Bwana, naye atawakuza.


Pinde zao mashujaa zimevunjika, Na hao waliojikwaa wamepata nguvu.