Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 4:10 - Swahili Revised Union Version

10 Jidhilini mbele za Bwana, naye atawakuza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Nyenyekeeni mbele ya Bwana, naye atawainueni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Nyenyekeeni mbele ya Bwana, naye atawainueni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Nyenyekeeni mbele ya Bwana, naye atawainueni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Jinyenyekezeni mbele za Mwenyezi Mungu, naye atawainua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Jinyenyekezeni mbele za Mwenyezi Mungu, naye atawainua.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Jidhilini mbele za Bwana, naye atawakuza.

Tazama sura Nakili




Yakobo 4:10
19 Marejeleo ya Msalaba  

ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekeza, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.


Hapo watakapokuangusha, utasema, Kuna kuinuka tena; Naye mnyenyekevu Mungu atamwokoa.


Awainuaye juu hao walio chini; Na hao waombolezao hukuzwa wawe salama.


Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Na kumpandisha maskini kutoka jaani.


BWANA huwategemeza wenye upole, Huwaangusha chini wenye jeuri.


Na sasa kichwa changu kitainuka Juu ya adui zangu wanaonizunguka. Nami nitatoa dhabihu za shangwe hemani mwake; Nitaimba, naam, nitamhimidi BWANA.


Uwaokoe watu wako, uubariki urithi wako, Uwachunge, uwachukue milele.


Ee BWANA, nitakutukuza kwa maana umeniinua, Wala hukuwafurahisha adui zangu juu yangu.


Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, na kumwambia, BWANA, Mungu wa Waebrania, asema hivi, Je! Utakataa hata lini kujinyenyekeza mbele zangu? Wape watu wangu ruhusa waende zao, ili wanitumikie.


Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa.


Bwana MUNGU asema hivi; Kiondoe kilemba, livue taji; haya hayatakuwa tena kama yalivyo; kikweze kilicho chini, kakishushe kilichoinuka.


Na yeyote atakayejikweza, atadhiliwa; na yeyote atakayejidhili, atakwezwa.


Amewaangusha wakuu katika viti vyao vya enzi; Na wanyonge amewainua.


Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.


Nawaambia, huyu alishuka kwenda nyumbani kwake amehesabiwa haki kuliko yule; kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.


Basi nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake;


BWANA hufukarisha mtu, na hutajirisha; Hushusha chini, tena huinua juu.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo