Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hosea 4:17 - Swahili Revised Union Version

Efraimu amejiungamanisha na sanamu; mwache.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Watu wa Efraimu wamejifunga na sanamu. Haya! Waache waendelee tu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Watu wa Efraimu wamejifunga na sanamu. Haya! Waache waendelee tu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Watu wa Efraimu wamejifunga na sanamu. Haya! Waache waendelee tu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Efraimu amejiunga na sanamu, achana naye!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Efraimu amejiunga na sanamu, ondokana naye!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Efraimu amejiungamanisha na sanamu; mwache.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hosea 4:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao, Waenende katika mashauri yao.


Kadiri walivyowaita ndivyo walivyoondoka na kuwaacha; waliwatolea dhabihu Mabaali, na kuzifukizia uvumba sanamu za kuchonga.


Na upanga utaiangukia miji yake, utayaharibu makomeo yake na kuyala, kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.


Efraimu hujilisha upepo, na kuandamana na upepo wa mashariki; haachi kuongeza uongo na uharibifu; nao wafanya agano na Ashuru, na mafuta huchukuliwa kwenda Misri.


Na sasa wanazidi kufanya dhambi, nao wamejifanyia sanamu kwa fedha yao, naam, sanamu kwa kadiri ya akili zao; zote pia ni kazi ya mafundi; nao huzitaja hivi, Wanaume watoao dhabihu na wazibusu ndama.


Lakini asishindane mtu, wala mtu asikemee; maana watu wako ni kama wao washindanao na kuhani.


Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.


Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.