Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hosea 4:17 - Swahili Revised Union Version

17 Efraimu amejiungamanisha na sanamu; mwache.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 “Watu wa Efraimu wamejifunga na sanamu. Haya! Waache waendelee tu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 “Watu wa Efraimu wamejifunga na sanamu. Haya! Waache waendelee tu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 “Watu wa Efraimu wamejifunga na sanamu. Haya! Waache waendelee tu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Efraimu amejiunga na sanamu, achana naye!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Efraimu amejiunga na sanamu, ondokana naye!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Efraimu amejiungamanisha na sanamu; mwache.

Tazama sura Nakili




Hosea 4:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao, Waenende katika mashauri yao.


Kadiri walivyowaita ndivyo walivyoondoka na kuwaacha; waliwatolea dhabihu Mabaali, na kuzifukizia uvumba sanamu za kuchonga.


Na upanga utaiangukia miji yake, utayaharibu makomeo yake na kuyala, kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.


Efraimu hujilisha upepo, na kuandamana na upepo wa mashariki; haachi kuongeza uongo na uharibifu; nao wafanya agano na Ashuru, na mafuta huchukuliwa kwenda Misri.


Na sasa wanazidi kufanya dhambi, nao wamejifanyia sanamu kwa fedha yao, naam, sanamu kwa kadiri ya akili zao; zote pia ni kazi ya mafundi; nao huzitaja hivi, Wanaume watoao dhabihu na wazibusu ndama.


Lakini asishindane mtu, wala mtu asikemee; maana watu wako ni kama wao washindanao na kuhani.


Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.


Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo