Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 26:7 - Swahili Revised Union Version

Hizi ndizo jamaa za Wareubeni; na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tatu, mia saba na thelathini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hizo ndizo koo za kabila la Reubeni. Idadi ya wanaume waliohesabiwa ni 43,730.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hizo ndizo koo za kabila la Reubeni. Idadi ya wanaume waliohesabiwa ni 43,730.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hizo ndizo koo za kabila la Reubeni. Idadi ya wanaume waliohesabiwa ni 43,730.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa elfu arobaini na tatu mia saba na thelathini (43,730).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hizi ndizo jamaa za Wareubeni; na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arobaini na tatu, mia saba na thelathini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 26:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Reubeni; Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi.


wale waliohesabiwa katika kabila la Reubeni, walikuwa watu elfu arubaini na sita na mia tano (46,500) mmoja mmoja.


Na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu arubaini na sita na mia tano.


Ikawa baada ya hilo pigo, BWANA akanena na Musa na Eleazari, mwana wa Haruni kuhani, na kuwaambia,


Na wana wa Peresi walikuwa; wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; wa Hamuli, jamaa ya Wahamuli.


na wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; na wa Karmi, jamaa ya Wakarmi.


Na wana wa Palu; Eliabu.