Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 1:21 - Swahili Revised Union Version

21 wale waliohesabiwa katika kabila la Reubeni, walikuwa watu elfu arubaini na sita na mia tano (46,500) mmoja mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 walikuwa watu 46,500.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 walikuwa watu 46,500.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 walikuwa watu 46,500.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu elfu arobaini na sita na mia tano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 wale waliohesabiwa katika kabila la Reubeni, walikuwa watu elfu arobaini na sita na mia tano (46,500) mmoja mmoja.

Tazama sura Nakili




Hesabu 1:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa, kila mwanamume kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi wote walioweza kwenda vitani;


Katika wana wa Simeoni, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, wale waliohesabiwa kama hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa, kila mwanaume kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Hizi ndizo jamaa za Wareubeni; na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tatu, mia saba na thelathini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo