Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 26:7 - Swahili Revised Union Version

7 Hizi ndizo jamaa za Wareubeni; na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tatu, mia saba na thelathini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hizo ndizo koo za kabila la Reubeni. Idadi ya wanaume waliohesabiwa ni 43,730.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hizo ndizo koo za kabila la Reubeni. Idadi ya wanaume waliohesabiwa ni 43,730.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hizo ndizo koo za kabila la Reubeni. Idadi ya wanaume waliohesabiwa ni 43,730.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa elfu arobaini na tatu mia saba na thelathini (43,730).

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Hizi ndizo jamaa za Wareubeni; na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arobaini na tatu, mia saba na thelathini.

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Reubeni; Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi.


wale waliohesabiwa katika kabila la Reubeni, walikuwa watu elfu arubaini na sita na mia tano (46,500) mmoja mmoja.


Na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu arubaini na sita na mia tano.


Ikawa baada ya hilo pigo, BWANA akanena na Musa na Eleazari, mwana wa Haruni kuhani, na kuwaambia,


Na wana wa Peresi walikuwa; wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; wa Hamuli, jamaa ya Wahamuli.


na wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; na wa Karmi, jamaa ya Wakarmi.


Na wana wa Palu; Eliabu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo