Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 26:21 - Swahili Revised Union Version

21 Na wana wa Peresi walikuwa; wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; wa Hamuli, jamaa ya Wahamuli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kutoka kwa Peresi, familia ya Hesroni na Hamuli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kutoka kwa Peresi, familia ya Hesroni na Hamuli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kutoka kwa Peresi, familia ya Hesroni na Hamuli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wazao wa Peresi walikuwa: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wazao wa Peresi walikuwa: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Na wana wa Peresi walikuwa; wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; wa Hamuli, jamaa ya Wahamuli.

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela, na Peresi, na Zera; lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani. Na wana wa Peresi, ni Hesroni, na Hamuli.


Wana wa Peresi; Hesroni, na Hamuli.


Na wana wa Yuda kwa jamaa zao; wa Shela, jamaa ya Washela; wa Peresi, jamaa ya Waperesi; wa Zera, jamaa ya Wazera.


Hawa ndio jamaa wa Yuda kama waliohesabiwa kwao, elfu sabini na sita na mia tano.


na wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; na wa Karmi, jamaa ya Wakarmi.


Hizi ndizo jamaa za Wareubeni; na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tatu, mia saba na thelathini.


Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo