Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:25 - Swahili Revised Union Version

Basi BWANA amenilipa kulingana na haki yangu; Kulingana na usafi wa mikono yangu mbele zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu amenituza kadiri ya uadilifu wangu, yeye anajua usafi wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu amenituza kadiri ya uadilifu wangu, yeye anajua usafi wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu amenituza kadiri ya uadilifu wangu, yeye anajua usafi wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu amenilipa sawasawa na uadilifu wangu, sawasawa na usafi wangu machoni pake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu, sawasawa na usafi wangu machoni pake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi BWANA amenilipa kulingana na haki yangu; Kulingana na usafi wa mikono yangu mbele zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:25
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA alinitendea kulingana na haki yangu; Kulingana na usafi wa mikono yangu akanilipa.


Sulemani akasema, Umemfanyia mtumwa wako Daudi baba yangu fadhili kuu, kadiri alivyoenenda mbele zako katika kweli, na katika haki, na katika unyofu wa moyo pamoja nawe; nawe umemwekea na fadhili hii kubwa, maana umempa mwana wa kuketi kitini pake kama ilivyo leo.


Ikiwa, mwenye haki atalipwa duniani; Je, mwovu na mkosaji hawatalipwa mara nyingi zaidi?


Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele ya macho ya BWANA, Na mienendo yake yote huitafakari.


Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao


Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee malipo ya mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyotenda, yawe ni mema au mabaya.


BWANA humlipa kila mtu kulingana na haki na uaminifu wake; maana BWANA amekutia mikononi mwangu leo, nami nilikataa kuunyosha mkono wangu juu ya masihi wa BWANA.