2 Samueli 22:21 - Swahili Revised Union Version21 BWANA alinitendea kulingana na haki yangu; Kulingana na usafi wa mikono yangu akanilipa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 “Mwenyezi-Mungu alinipa tuzo kadiri ya uadilifu wangu; alinituza kwa vile mikono yangu haina hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 “Mwenyezi-Mungu alinipa tuzo kadiri ya uadilifu wangu; alinituza kwa vile mikono yangu haina hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 “Mwenyezi-Mungu alinipa tuzo kadiri ya uadilifu wangu; alinituza kwa vile mikono yangu haina hatia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 “Mwenyezi Mungu alinitendea sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 “bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 BWANA alinitendea kulingana na haki yangu; Kulingana na usafi wa mikono yangu akanilipa. Tazama sura |