Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 3:10 - Swahili Revised Union Version

10 Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Waambieni waadilifu jinsi walivyo na bahati: Kwani watakula matunda ya matendo yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Waambieni waadilifu jinsi walivyo na bahati: Kwani watakula matunda ya matendo yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Waambieni waadilifu jinsi walivyo na bahati: kwani watakula matunda ya matendo yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Waambie wanyofu itakuwa heri kwao, kwa kuwa watafurahia tunda la matendo yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Waambie wanyofu itakuwa heri kwao, kwa kuwa watafurahia tunda la matendo yao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao

Tazama sura Nakili




Isaya 3:10
28 Marejeleo ya Msalaba  

La hasha! Usifanye hivyo, ukamwue mwenye haki pamoja na mwovu, mwenye haki awe kama mwovu. Hasha! Mhukumu ulimwengu wote asitende haki?


Na mwanadamu atasema, Hakika iko thawabu yake mwenye haki. Hakika yuko Mungu Anayehukumu katika dunia.


Basi Mungu akawatendea mema wale wakunga; na hao watu wakaongezeka sana, wakaendelea na kuzidi kuwa na nguvu nyingi.


Baraka humkalia mwenye haki kichwani; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu.


Mtu atashiba mema kwa matunda ya kinywa chake; Na atarudishiwa matendo ya mikono yake.


Uovu huwafuatia wenye dhambi; Bali mwenye haki atalipwa mema.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Ijapokuwa mwenye dhambi amefanya maovu mara mia na akazidisha siku zake; lakini hata hivyo najua hakika ya kwamba itakuwa heri kwao wamchao Mungu, wenye kicho mbele zake;


Kila silaha itengenezwayo juu yako haitafanikiwa, na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema BWANA.


BWANA akasema, Hakika nitakutia nguvu upate mema; hakika nitamlazimisha adui akusihi wakati wa uovu, na wakati wa taabu.


Nami nitawaadhibu kwa kadiri ya matendo yenu, asema BWANA; nami nitawasha moto katika msitu wake, nao utateketeza vitu vyote viuzungukavyo.


Je! Utatawala kwa sababu unashindana na watu kwa mierezi? Baba yako, je! Hakula na kunywa, na kufanya hukumu na haki? Hapo ndipo alipofanikiwa.


lakini niliwaamuru neno hili, nikisema, Sikilizeni sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu nanyi mtakuwa watu wangu; mkaende katika njia ile yote nitakayowaamuru mpate kufanikiwa.


Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.


BWANA akamwambia, Pita kati ya mji, kati ya Yerusalemu, ukatie alama katika vipaji vya nyuso vya watu wanaopiga kite na kulia kwa sababu ya machukizo yote yanayofanyika kati yake.


Hata hivyo nchi itakuwa ukiwa kwa sababu ya hao wakaao ndani yake, kwa sababu ya matunda ya matendo yao.


Mtafuteni BWANA, enyi nyote mlio wanyenyekevu wa dunia, ninyi mliozitenda hukumu zake; itafuteni haki, utafuteni unyenyekevu; huenda mtafichwa katika siku ya hasira ya BWANA.


Ndipo mtakaporudi, nanyi mtapambanua kati ya wenye haki na waovu, kati ya yeye amtumikiaye Mungu na yeye asiyemtumikia.


Akamwambia huyu naye, Wewe uwe juu ya miji mitano.


Usiile; ili upate kufanikiwa, na watoto wako baada yako utakapofanya yaliyoelekea machoni pa BWANA.


Maana Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sasa mngali mkiwahudumia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo