Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 8:4 - Swahili Revised Union Version

Ndipo wazee wote wa Israeli wakakutana pamoja, wakamwendea Samweli huko Rama;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, viongozi wote wa Israeli walikusanyika pamoja, na kumwendea Samueli mjini Rama,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, viongozi wote wa Israeli walikusanyika pamoja, na kumwendea Samueli mjini Rama,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, viongozi wote wa Israeli walikusanyika pamoja, na kumwendea Samueli mjini Rama,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi wazee wote wa Israeli wakakusanyika pamoja na kumjia Samweli huko Rama.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi wazee wote wa Israeli wakakusanyika pamoja na kumjia Samweli huko Rama.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo wazee wote wa Israeli wakakutana pamoja, wakamwendea Samweli huko Rama;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 8:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abneri akafanya mashauri na wazee wa Israeli, akasema, Zamani mlitaka Daudi awamiliki;


Basi wazee wote wa Israeli wakamwendea mfalme huko Hebroni, naye mfalme Daudi akapatana nao huko Hebroni mbele za BWANA; wakamtia Daudi mafuta awe mfalme juu ya Israeli.


Kisha BWANA akamwambia Musa, Kweeni wewe, na Haruni, na Nadabu, na Abihu, na watu sabini wa wazee wa Israeli, mkamfikie BWANA; mkasujudie kwa mbali;


Nenda, ukawakusanye wazee wa Israeli pamoja, ukawaambie, BWANA, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenitokea, akaniambia, Hakika nimewajilieni, tena nimeyaona mnayotendewa huko Misri;


Wakaondoka asubuhi na mapema, wakaomba mbele za BWANA, kisha wakarejea na kufika nyumbani kwao huko Rama; Elkana akamjua mkewe Hana; naye BWANA akamkumbuka.


Basi wazee wa Yabeshi wakamjibu, Tuachie siku saba, ili tutume wajumbe waende kote mipakani mwa Israeli; kisha, ikiwa hakuna atakayetuokoa, tutajisalimisha kwako.


Kisha alikuwa akirudi Rama; maana ndipo ilipokuwa nyumba yake; nako ndiko alikowaamua Waisraeli; na huko akamjengea BWANA madhabahu.


Naye Samweli akawaambia wale watu waliotaka mfalme maneno yote ya BWANA.