1 Samueli 8:3 - Swahili Revised Union Version3 Ila wanawe hawakuenda katika njia zake, bali waliziacha, ili wapate faida; wakapokea rushwa, na kupotosha hukumu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Lakini watoto hao hawakufuata mwenendo wa baba yao. Bali walianza kujitafutia faida. Wakapokea rushwa na kupotosha haki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Lakini watoto hao hawakufuata mwenendo wa baba yao. Bali walianza kujitafutia faida. Wakapokea rushwa na kupotosha haki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Lakini watoto hao hawakufuata mwenendo wa baba yao. Bali walianza kujitafutia faida. Wakapokea rushwa na kupotosha haki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Lakini wanawe hawakuenenda katika njia zake. Waliziacha wakageukia faida za udanganyifu nao wakapokea rushwa na kupotosha haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Lakini wanawe hawakuenenda katika njia zake. Waliziacha wakageukia faida za udanganyifu nao wakapokea rushwa na kupotosha haki. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Ila wanawe hawakuenenda katika njia zake, bali waliziacha, ili wapate faida; wakapokea rushwa, na kupotosha hukumu. Tazama sura |