Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 3:17 - Swahili Revised Union Version

17 Basi Abneri akafanya mashauri na wazee wa Israeli, akasema, Zamani mlitaka Daudi awamiliki;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Abneri alifanya mashauri na wazee wa Israeli, akawaambia, “Kwa muda fulani uliopita mmekuwa mkitaka Daudi awe mfalme wenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Abneri alifanya mashauri na wazee wa Israeli, akawaambia, “Kwa muda fulani uliopita mmekuwa mkitaka Daudi awe mfalme wenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Abneri alifanya mashauri na wazee wa Israeli, akawaambia, “Kwa muda fulani uliopita mmekuwa mkitaka Daudi awe mfalme wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Abneri akafanya shauri pamoja na wazee wa Israeli, akasema, “Muda mrefu mmetaka kumfanya Daudi mfalme wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Abneri akafanya shauri pamoja na wazee wa Israeli, akasema, “Muda mrefu mmetaka kumfanya Daudi mfalme wenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Basi Abneri akafanya mashauri na wazee wa Israeli, akasema, Zamani mlitaka Daudi awamiliki;

Tazama sura Nakili




2 Samueli 3:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

basi, sasa, fanyeni hayo; kwa maana BWANA amemtaja Daudi, akisema, kwa mkono wa mtumishi wangu, Daudi, nitawaokoa watu wangu Israeli katika mikono ya Wafilisti, na katika mikono ya adui zao wote.


Basi hawa ndio wakuu wa mashujaa aliokuwa nao Daudi, waliojitia nguvu pamoja naye katika ufalme wake, pamoja na Israeli wote, ili kumfanya awe mfalme, sawasawa na neno la BWANA alilonena juu ya Israeli.


Bali Mungu ndiye ahukumuye; Humdhili huyu na kumwinua huyu.


Na sasa, angalia, ninajua ya kuwa hakika utakuwa mfalme, na ufalme wa Israeli utafanyika imara mkononi mwako.


Ndipo wazee wote wa Israeli wakakutana pamoja, wakamwendea Samweli huko Rama;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo