Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Petro 4:9 - Swahili Revised Union Version

Mkaribishane ninyi kwa ninyi, pasipo kunung'unika;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Muwe na ukarimu nyinyi kwa nyinyi bila kunung'unika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Muwe na ukarimu nyinyi kwa nyinyi bila kunung'unika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Muwe na ukarimu nyinyi kwa nyinyi bila kunung'unika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manung’uniko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manung’uniko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkaribishane ninyi kwa ninyi, pasipo kunung'unika;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Petro 4:9
11 Marejeleo ya Msalaba  

Hata alipokwisha kumnywesha akasema, Na ngamia wako nitawatekea, hadi watakapokwisha kunywa.


kwa mahitaji ya watakatifu, mkifuata ukarimu; katika kukaribisha wageni mkijitahidi.


Gayo, mwenyeji wangu, na wa kanisa lote pia, awasalimu. Erasto, wakili wa mji, na Kwarto, ndugu yetu, wanawasalimu. [


Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu.


Yatendeni mambo yote pasipo manung'uniko wala mashindano,


Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkarimu, ajuaye kufundisha;


bali awe mkarimu, mpenda wema, mwenye kiasi, mwenye haki, mtakatifu, mwenye kudhibiti nafsi yake;


Lakini sikutaka kutenda neno lolote isipokuwa kwa ushauri wako, ili kwamba wema wako usiwe kama kwa lazima, bali kwa hiari.


Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu.


Msisahau kuwafadhili wageni; maana kwa njia hii wengine wamewakaribisha malaika pasipo kujua.


Ndugu, msinung'unikiane, msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango.