Waebrania 13:16 - Swahili Revised Union Version16 Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Msisahau kutenda mema na kusaidiana, maana hizi ndizo tambiko zinazompendeza Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Msisahau kutenda mema na kusaidiana, maana hizi ndizo tambiko zinazompendeza Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Msisahau kutenda mema na kusaidiana, maana hizi ndizo tambiko zinazompendeza Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Na msiache kutenda mema na kushirikiana vile vitu mlivyo navyo, kwa kuwa dhabihu kama hizo ndizo zinazompendeza Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Na msiache kutenda mema na kushirikiana vile vitu mlivyo navyo, kwa kuwa dhabihu kama hizo ndizo zinazompendeza Mwenyezi Mungu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu. Tazama sura |