Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Petro 4:8 - Swahili Revised Union Version

8 Zaidi ya yote iweni na bidii kubwa katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Zaidi ya yote pendaneni kwa moyo wote, maana upendo hufunika dhambi nyingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Zaidi ya yote pendaneni kwa moyo wote, maana upendo hufunika dhambi nyingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Zaidi ya yote pendaneni kwa moyo wote, maana upendo hufunika dhambi nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Zaidi ya yote iweni na bidii kubwa katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.

Tazama sura Nakili




1 Petro 4:8
17 Marejeleo ya Msalaba  

Kuchukiana huleta fitina; Bali kupendana husitiri makosa yote.


Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Afunikaye kosa hutafuta kupendwa; Bali yeye afichuaye siri hutenga rafiki.


Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.


Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.


Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;


Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu.


Bwana na awaongeze na kuwazidisha katika upendo, ninyi kwa ninyi, na kwa watu wote, kama vile sisi nasi tulivyo kwenu;


Ndugu, imetupasa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kama ilivyo wajibu, kwa kuwa imani yenu inazidi sana, na upendo wa kila mtu kwenu kwa mwenzake umekuwa mwingi.


Lakini lengo la agizo hili ni kuleta upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki.


Upendano wa ndugu na udumu.


Lakini zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, wala kwa mbingu wala kwa nchi; wala kwa kiapo kinginecho chote; bali “ndiyo” yenu na iwe ndiyo, na “Hapana” yenu iwe hapana, msije mkaanguka katika hukumu.


jueni ya kuwa yeye amrejeshaye mwenye dhambi hadi akatoka katika njia ya upotevu, ataokoa roho ya mwenye dhambi kutoka mauti, na kufunika wingi wa dhambi.


Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.


Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo