Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 11:1 - Swahili Revised Union Version

Ifungue milango yako, Ee Lebanoni, Ili moto uiteketeze mierezi yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Fungua milango yako, ewe Lebanoni ili moto uiteketeze mierezi yako!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Fungua milango yako, ewe Lebanoni ili moto uiteketeze mierezi yako!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Fungua milango yako, ewe Lebanoni ili moto uiteketeze mierezi yako!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Fungua milango yako, ee Lebanoni, ili moto uteketeze mierezi yako!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Fungua milango yako, ee Lebanoni, ili moto uteketeze mierezi yako!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ifungue milango yako, Ee Lebanoni, Ili moto uiteketeze mierezi yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 11:1
14 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ukaaye Lebanoni, Ujengaye kiota chako katika mierezi, Utakuwa na hali ya kuhurumiwa sana, Upatapo uchungu kama wa mwanamke azaaye.


Tazama, Mwashuri alikuwa mwerezi katika Lebanoni, wenye matawi mazuri, na kifuniko chenye uvuli, na kimo kirefu; na kilele chake kilikuwa kati ya matawi mapana.


Kwa maana udhalimu uliotendwa juu ya Lebanoni utakufunikiza, na kuangamizwa kwao wanyama kutakutia hofu; kwa sababu ya damu ya watu, na kwa sababu ya udhalimu iliotendwa nchi hii, na mji huu, na watu wote wanaokaa ndani yake.


Kwa sababu umeteka nyara mataifa mengi, mabaki yote ya kabila watakuteka wewe; kwa sababu ya damu ya watu, na kwa sababu ya udhalimu iliotendwa nchi hii, na mji huu, na watu wote wanaokaa ndani yake.


Pandeni milimani, mkalete miti, mkaijenge nyumba; nami nitaifurahia, nami nitatukuzwa, asema BWANA.


Tena nitawarudisha toka nchi ya Misri, nitawakusanya na kuwatoa katika Ashuru; nami nitawaingiza katika nchi ya Gileadi na Lebanoni; hata pasiwe na nafasi ya kuwatosha.


Piga yowe, msonobari, maana mwerezi umeanguka, Kwa sababu miti iliyo mizuri imeharibika; Pigeni yowe, enyi mialoni ya Bashani, Kwa maana msitu wenye nguvu umeangamia.


Siku hiyo nitawafanya wakuu wa Yuda kuwa kama kigae chenye moto katika kuni, na kama kinga cha moto katika miganda; nao watateketeza watu wa kila kabila, wawazungukao pande zote, upande wa mkono wa kulia na upande wa mkono wa kushoto; na baada ya haya Yerusalemu utakaa mahali pake, naam, hapo Yerusalemu.


Maana, moto umewashwa kwa hasira yangu, Unateketea hata chini ya kuzimu, Unakula dunia pamoja na mazao yake, Unaunguza misingi ya milima.