Zekaria 10:12 - Swahili Revised Union Version12 Nami nitawatia nguvu katika BWANA; nao watatembea huku na huko katika jina lake, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Mimi nitawaimarisha watu wangu, nao watanitii na kuishi kwa kunipendeza. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Mimi nitawaimarisha watu wangu, nao watanitii na kuishi kwa kunipendeza. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Mimi nitawaimarisha watu wangu, nao watanitii na kuishi kwa kunipendeza. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Nitawaimarisha katika Mwenyezi Mungu, na katika jina lake watatembea,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Nitawaimarisha katika bwana, na katika jina lake watatembea,” asema bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Nami nitawatia nguvu katika BWANA; nao watatembea huku na huko katika jina lake, asema BWANA. Tazama sura |