Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 102:9 - Swahili Revised Union Version

Maana ninakula majivu kama chakula, Na kukichanganya kinywaji changu na machozi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Majivu yamekuwa chakula changu, machozi nayachanganya na kinywaji changu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Majivu yamekuwa chakula changu, machozi nayachanganya na kinywaji changu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Majivu yamekuwa chakula changu, machozi nayachanganya na kinywaji changu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninakula majivu kama chakula changu, nimechanganya kinywaji changu na machozi

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninakula majivu kama chakula changu na nimechanganya kinywaji changu na machozi

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana ninakula majivu kama chakula, Na kukichanganya kinywaji changu na machozi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 102:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani kuugua kwangu kwaja kana kwamba ni chakula, Na kunguruma kwangu kumemiminika kama maji.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Wakanipa uchungu kuwa chakula changu; Na nilipokuwa na kiu wakaninywesha siki.


Umewalisha mkate wa machozi, Umewanywesha machozi kwa kipimo kikuu.


Hula majivu; moyo uliodanganyika umempotosha, asiweze kuiokoa nafsi yake, wala kusema, Je! Sio uongo mkononi mwangu?


Msiyahubiri haya katika Gathi, msilie kamwe; Katika Beth-le-Afra ugaegae mavumbini.


Watayaramba mavumbi kama nyoka, kama vitu vitambaavyo juu ya nchi watatoka katika mahali walimojificha, wakitetemeka; watakuja kwa BWANA, Mungu wetu, kwa hofu, nao wataogopa kwa sababu yako.