Zaburi 102:8 - Swahili Revised Union Version8 Adui zangu wananilaumu mchana kutwa; Wanaonichukia kana kwamba wana wazimu Wakitaja jina langu katika laana zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mchana kutwa maadui zangu wananisimanga, wanaonidhihaki hutumia jina langu kulaania. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mchana kutwa maadui zangu wananisimanga, wanaonidhihaki hutumia jina langu kulaania. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mchana kutwa maadui zangu wananisimanga, wanaonidhihaki hutumia jina langu kulaania. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki; wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki, wale wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Adui zangu wananilaumu mchana kutwa; Wanaonichukia kana kwamba wana wazimu Wakitaja jina langu katika laana zao. Tazama sura |