Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 42:3 - Swahili Revised Union Version

3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Machozi yamekuwa chakula changu mchana na usiku, waliponiambia kila siku: “Yuko wapi Mungu Wako!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Machozi yamekuwa chakula changu mchana na usiku, waliponiambia kila siku: “Yuko wapi Mungu Wako!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Machozi yamekuwa chakula changu mchana na usiku, waliponiambia kila siku: “Yuko wapi Mungu Wako!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu usiku na mchana, huku watu wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu usiku na mchana, huku watu wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?

Tazama sura Nakili




Zaburi 42:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Labda BWANA atayaangalia mabaya yaliyonipata, naye BWANA atanilipa mema kwa sababu ya kunilaani kwake leo.


Maana ninakula majivu kama chakula, Na kukichanganya kinywaji changu na machozi.


Kwa nini mataifa kusema, Yuko wapi Mungu wao?


Nakunyoshea mikono yangu; Nafsi yangu inakuonea kiu kama nchi kame.


Husema, Umtegemee BWANA; na amponye; Na amwokoe sasa, maana apendezwa naye.


Ni wengi wanaoiambia nafsi yangu, Hana wokovu huyu kwa Mungu.


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Ndivyo nilivyokutazama katika patakatifu, Nizione nguvu zako na utukufu wako.


Kwa nini mataifa yaseme, Yuko wapi Mungu wao? Kisasi cha damu ya watumishi wako iliyomwagika Kijulike kati ya mataifa machoni petu.


Uwalipe jirani zetu mara saba vifuani mwao Laumu zao walizokulaumu, Ee Bwana.


Umewalisha mkate wa machozi, Umewanywesha machozi kwa kipimo kikuu.


Hata Shomoro ameona nyumba, Na mbayuwayu amejipatia kiota, Alipoweka makinda yake, Kwenye madhabahu zako, Ee BWANA wa majeshi, Mfalme wangu na Mungu wangu.


Mara tatu katika mwaka wana wa kiume wako wote watahudhuria mbele ya Bwana MUNGU.


Hao makuhani, wahudumu wa BWANA, na walie Kati ya patakatifu na madhabahu, Na waseme, Uwaachilie watu wako, Ee BWANA, Wala usiutoe urithi wako upate aibu, Hata mataifa watawale juu yao; Kwa nini waseme kati ya watu, Yuko wapi Mungu wao?


Ndipo adui yangu ataliona jambo hilo, na aibu itamfunika, yeye aliyeniambia, Yuko wapi BWANA, Mungu wako? Macho yangu yatamtazama; sasa atakanyagwa kama matope ya njia kuu.


Maana katika watu wote ni nani aliyeisikia sauti ya Mungu aliye hai, akisema toka kati ya moto, kama vile sisi, asife?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo