Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 18:24 - Swahili Revised Union Version

na Kefar-amoni, na Ofni, na Geba; miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kefar-amoni, Ofni na Geba. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kefar-amoni, Ofni na Geba. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kefar-amoni, Ofni na Geba. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kefar-Amoni, Ofni, na Geba; miji kumi na mbili pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kefar-Amoni, Ofni, na Geba; miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Kefar-amoni, na Ofni, na Geba; miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 18:24
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndivyo alivyotenda Daudi, vile vile kama BWANA alivyomwagiza; naye akawapiga Wafilisti toka Geba hata ujapo Gezeri.


Ndipo mfalme Asa akatangaza kwa Yuda pia; asiachiliwe mtu; nao wakayachukua mawe ya Rama na miti yake, aliyoijengea Baasha; naye mfalme Asa akajenga kwa vitu hivyo Geba wa Benyamini na Mispa.


Akawatoa makuhani wote katika miji ya Yuda, akapanajisi mahali pa juu, makuhani walipokuwa wamefukiza uvumba, tangu Geba hata Beer-sheba; akapavunja mahali pa juu pa malango, palipokuwapo penye kuingia lango la Yoshua, mtawala wa mji, palipokuwa upande wa kushoto wa mtu langoni pa mji.


Watu wa Rama na Geba, mia sita ishirini na mmoja.


Watu wa Rama na Geba, mia sita na ishirini na mmoja.


wamevuka kivuko; wamekwenda kulala katika Geba; Rama unatetemeka; Gibea wa Sauli umekimbia.


na Avimu, na Para, na Ofra;


na Gibeoni, na Rama, na Beerothi;


Tena katika kabila la Benyamini, Gibeoni pamoja na mbuga zake za malisho, na Geba pamoja na mbuga zake za malisho;


Yonathani akaipiga hiyo ngome ya Wafilisti, iliyokuwako huko Gibea, nao Wafilisti wakapata habari. Naye Sauli akapiga tarumbeta katika nchi yote, huku akisema, Na wasikie Waebrania.