Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:43 - Swahili Revised Union Version

Basi kukaingia matengano katika mkutano kwa ajili yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo watu wakagawanyika kwa ajili ya Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo watu wakagawanyika kwa ajili ya Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi kukaingia matengano katika mkutano kwa ajili yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:43
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana nilikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;


Je! Mwadhani ya kwamba nimekuja kuleta amani duniani? Nawaambia, La, sivyo, bali mafarakano.


Kukawa na utengano tena kati ya Wayahudi, kwa ajili ya maneno hayo.


Kukawa na manung'uniko mengi katika makutano juu yake. Wengine wakasema, Ni mtu mwema. Na wengine wakasema, Sivyo; bali anawadanganya makutano.


Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.


Lakini jamii ya watu wa mjini wakafarakana; hawa walikuwa upande wa Wayahudi, na hawa upande wa mitume.