Mathayo 10:35 - Swahili Revised Union Version35 Kwa maana nilikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Kwa maana nimekuja kuleta uadui kati ya “ ‘mtu na baba yake, binti na mama yake, mkwe na mama mkwe wake; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Kwa maana nimekuja kumfitini “ ‘mtu na babaye, binti na mamaye, mkwe na mama mkwe wake; Tazama suraBIBLIA KISWAHILI35 Kwa maana nilikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu; Tazama sura |