Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 10:35 - Swahili Revised Union Version

35 Kwa maana nilikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Kwa maana nimekuja kuleta uadui kati ya “ ‘mtu na baba yake, binti na mama yake, mkwe na mama mkwe wake;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Kwa maana nimekuja kumfitini “ ‘mtu na babaye, binti na mamaye, mkwe na mama mkwe wake;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Kwa maana nilikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;

Tazama sura Nakili




Mathayo 10:35
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na ndugu atamsaliti nduguye ili auawe, na baba atamsaliti mwana, na wana watawainukia wazazi wao, na kuwaua.


Ndipo wengi watakapojikwaa, nao watasalitiana, na kuchukiana.


Na ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe, na baba atamsaliti mtoto, na watoto watashambulia wazazi wao, na kuwaua.


Watafarakana baba na mwanawe, na mwana na babaye; mama na binti yake, na binti na mamaye; mkwe mtu na mkwewe, mkwe na mkwe mtu.


Nanyi mtasalitiwa na wazazi wenu, na ndugu zenu, na jamaa zenu, na rafiki zenu, nao watawaua baadhi yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo