Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 10:19 - Swahili Revised Union Version

19 Kukawa na utengano tena kati ya Wayahudi, kwa ajili ya maneno hayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Waliposikia maneno haya, Wayahudi wakagawanyika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kwa maneno haya Wayahudi waligawanyika.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Kukawa na utengano tena kati ya Wayahudi, kwa ajili ya maneno hayo.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Wayahudi walishindana wao kwa wao wakisema, Awezaje mtu huyu kutupa sisi mwili wake ili tuule?


Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.


Lakini jamii ya watu wa mjini wakafarakana; hawa walikuwa upande wa Wayahudi, na hawa upande wa mitume.


Kwa maana kwanza mnapokutanika kanisani nasikia kuna migawanyiko kwenu; nami kwa kiasi fulani naamini;


kwa maana hata sasa ninyi ni watu wa tabia ya mwilini. Maana, ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je! Si watu wa tabia ya mwilini ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya kibinadamu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo