Yohana 10:20 - Swahili Revised Union Version20 Wengi wao wakasema, Ana pepo huyu, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Wengi wao wakasema, “Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Wengi wao wakasema, “Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Wengi wao wakasema, “Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Wengi wao wakasema, “Huyu amepagawa na pepo mchafu, naye amechanganyikiwa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Wengi wao wakasema, “Huyu amepagawa na pepo mchafu, naye amechanganyikiwa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Wengi wao wakasema, Ana pepo huyu, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza? Tazama sura |