Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:24 - Swahili Revised Union Version

Basi msihukumu kwa kuangalia kwa nje tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Acheni kuhukumu mambo kwa jinsi mnavyoona tu, bali hukumuni kwa haki.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Acheni kuhukumu mambo kwa jinsi mnavyoona tu, bali hukumuni kwa haki.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi msihukumu kwa kuangalia kwa nje tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:24
17 Marejeleo ya Msalaba  

Hadi lini mtahukumu kwa dhuluma, Na kuzikubali nyuso za wabaya?


Yeye asemaye kwamba asiye haki ana haki; naye asemaye kwamba mwenye haki hana haki; Hao wote wawili ni chukizo kwa BWANA.


Haya nayo pia ni maneno ya wenye akili. Kupendelea watu katika hukumu si kwema.


wampao haki mwenye uovu, ili wapewe ijara, na kumwondolea mwenye haki haki yake!


Msitende yasiyo haki katika hukumu, usimpendelee mtu maskini, wala kumstahi mwenye nguvu; bali utamhukumu jirani yako kwa haki.


BWANA wa majeshi amesema hivi, ya kwamba, Fanyeni hukumu za kweli, kila mtu na amwonee ndugu yake rehema na huruma;


Basi baadhi ya watu wa Yerusalemu wakasema, Je! Huyu siye wanayemtafuta ili wamwue?


Ninyi mwahukumu kwa kufuata mambo ya mwili; mimi simhukumu mtu.


Yaangalieni yaliyo mbele ya macho yenu. Mtu akijitumainia mwenyewe ya kuwa ni mtu wa Kristo, na afikiri hivi pia nafsini mwake, ya kwamba kama yeye alivyo mtu wa Kristo, vivyo hivyo ndivyo sisi nasi tulivyo.


Ndugu zangu, imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwe nayo kwa kupendelea watu.


je! Hamkufanya hitilafu mioyoni mwenu, mkawa waamuzi wenye mawazo maovu?


Bali mkiwapendelea watu, mwafanya dhambi na kuhukumiwa na sheria kuwa wakosaji.