Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 2:4 - Swahili Revised Union Version

4 je! Hamkufanya hitilafu mioyoni mwenu, mkawa waamuzi wenye mawazo maovu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi wenu haujatokana na fikira mbaya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi wenu haujatokana na fikira mbaya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi wenu haujatokana na fikira mbaya?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 je, hamjabagua kati yenu wenyewe na kuwa mahakimu wenye mawazo maovu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 je, hamjawabagua na kuwa mahakimu mioyoni mwenu mkihukumu kwa mawazo yenu maovu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 je! Hamkufanya hitilafu mioyoni mwenu, mkawa waamuzi wenye mawazo maovu?

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, nayajua mawazo yenu, Na mipango miovu mnayoazimia kufanya juu yangu.


Sembuse yeye huwajali nyuso za wakuu, Wala hawajali matajiri kuliko maskini? Kwani wote ni kazi ya mikono yake,


Maana atasimama mkono wa kulia wa mhitaji Amwokoe kutoka kwa wanaoihukumu nafsi yake.


Ni kweli, enyi wakuu, mnanena haki? Enyi wanadamu, mnahukumu kwa adili?


Hadi lini mtahukumu kwa dhuluma, Na kuzikubali nyuso za wabaya?


Kwa sababu hiyo mimi nami nimewafanya ninyi kuwa kitu cha kudharauliwa, na unyonge, mbele ya watu wote, kama vile ninyi msivyozishika njia zangu, bali mmewapendelea watu katika sheria.


Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule hakimu dhalimu.


Basi msihukumu kwa kuangalia kwa nje tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.


Ndugu, msisingiziane; amsingiziaye ndugu yake, au kumhukumu ndugu yake, huisingizia sheria na kuihukumu sheria. Lakini ukiihukumu sheria, huwi mtenda sheria, bali umekuwa hakimu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo