Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 8:15 - Swahili Revised Union Version

15 Ninyi mwahukumu kwa kufuata mambo ya mwili; mimi simhukumu mtu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Nyinyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Nyinyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Nyinyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Ninyi mnahukumu kwa kufuata vipimo vya kibinadamu; mimi simhukumu mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Ninyi mnahukumu kwa kufuata vipimo vya kibinadamu, mimi simhukumu mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Ninyi mwahukumu kwa kufuata mambo ya mwili; mimi simhukumu mtu.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ninyi mnaogeuza hukumu kuwa uchungu, na kuiangusha haki chini,


Je! Farasi watapiga mbio juu ya mwamba? Je! Mtu atalima kwa plau na ng'ombe baharini? Hata mmegeuza hukumu kuwa sumu, na matunda ya haki kuwa uchungu;


Kwa sababu hiyo sheria imelegea, wala hukumu haipatikani; kwa maana watu wabaya huwazunguka wenye haki; kwa sababu hiyo hukumu inayotolewa huwa imepotoshwa.


Akamwambia, Mtu wewe, ni nani aliyeniweka mimi kuwa mwamuzi au mgawanyi juu yenu?


Na mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, ila niuokoe ulimwengu.


Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa.


Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.


Basi msihukumu kwa kuangalia kwa nje tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.


Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; wala usitende dhambi tena.]


Kwa hiyo, wewe mtu uwaye yote uhukumuye, huna udhuru; kwa maana katika hayo umhukumuyo mwingine wajihukumu mwenyewe kuwa na hatia; kwa maana wewe uhukumuye unafanya yale yale.


Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.


Hata imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awaye yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemtambua Kristo kwa jinsi ya mwili, lakini sasa hatumtambui hivi tena.


je! Hamkufanya hitilafu mioyoni mwenu, mkawa waamuzi wenye mawazo maovu?


Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo